1 Mungu wangu, Mungu wangu, Mbona umeniacha? Mbona U mbali na wokovu wangu, Na maneno ya kuugua kwangu? 2 Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha. 3 Na Wewe U Mtakatifu, Uketiye juu ya sifa za Israeli. 4 Baba zetu walikutumaini Wewe, Walitumaini, na Wewe ukawaokoa. 5 Walikulilia Wewe wakaokoka, Walikutumaini wasiaibike. 6 Lakini mimi ni mdudu wala si mtu, Laumu…
Sura za hivi majuzi za Biblia
Zaburi 22
Zaburi 21
1 Ee Bwana, mfalme atazifurahia nguvu zako, Na wokovu wako ataufanyia shangwe nyingi sana. 2 Umempa haja ya moyo wake, Wala hukumzuilia matakwa ya midomo yake. 3 Maana umemsogezea baraka za heri, Umemvika taji ya dhahabu safi kichwani pake. 4 Alikuomba uhai, ukampa, Muda mrefu wa siku nyingi, milele na milele. 5 Utukufu wake ni mkuu kwa wokovu wako, Heshima na adhama waweka juu yake. 6 Maana umemfanya…
Zaburi 20
1 Bwana akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue. 2 Akupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni. 3 Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako. 4 Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako, Na kuyatimiza mashauri yako yote. 5 Na tuushangilie wokovu wako, Kwa jina la Mungu wetu tuzitweke bendera zetu. Bwana akutimizie matakwa yako yote. 6 Sasa najua…