Sura za hivi majuzi za Biblia

Ayubu 14

1 Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. 2 Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe. 3 Nawe, je! Wafumbua macho yako kumwangalia mtu kama yeye, Na kunitia katika hukumu pamoja nawe? 4 Ni nani awezaye kutoa kitu kilicho safi kitoke katika kitu kichafu? Hapana awezaye. 5 Kwa kuwa siku zake zimeamriwa, hesabu ya miezi…

Soma

Ayubu 13

1 Tazama, jicho langu limeyaona hayo yote, Sikio langu limeyasikia na kuelewa nayo. 2 Hayo myajuayo ninyi, na mimi pia nayajua; Mimi si duni kuliko ninyi. 3 Hakika ningenena naye huyo Mwenyezi, Nami nataka kuhojiana na Mungu. 4 Lakini ninyi hubuni maneno ya uongo, Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa. 5 Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu. 6 Sikieni sasa basi hoja zangu, Mkayasikie mashindano…

Soma

Ayubu 12

1 Ndipo Ayubu akajibu, na kusema, 2 Hapana shaka ninyi ndinyi watu halisi, Nanyi mtakapokufa, ndipo na hekima itakoma. 3 Lakini mimi pia, nina fahamu kama ninyi; Mimi si duni yenu ninyi; Naam, ni nani asiyejua mambo kama hayo? 4 Mimi ni mtu wa kuchekwa na jirani yake, Ni mtu niliyemwita Mungu, naye akanijibu; Huyo mwenye haki, aliye mtimilifu, amekuwa ni kicheko. 5 Katika mawazo yake huyo aliye na…

Soma