Amini Mitume Wake

Sura ya Biblia ya kila siku

Majadiliano

Wakati wa Kusoma: Less than one minute Sikiliza Mtandaoni Right arrow icon

1 Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yote; 
Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njoni mbele zake kwa kuimba; 
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake; Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake. 
Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake; 
Kwa kuwa Bwana ndiye mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake vizazi na vizazi.

See Previous Reading See Next Reading

JIUNGE NA MJADALA